Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+

  • 1 Samweli 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na roho ya Yehova ikaondoka+ juu ya Sauli, nayo roho mbaya+ kutoka kwa Yehova ikamtia hofu.

  • 2 Wafalme 6:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Naye akasema: “Yehova asipokuokoa wewe, mimi nitakuokoa kutoka chanzo gani?+ ni kutoka uwanja wa kupuria au ni kutoka divai au shinikizo la mafuta?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki