23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+
27 Naye akasema: “Yehova asipokuokoa wewe, mimi nitakuokoa kutoka chanzo gani?+ ni kutoka uwanja wa kupuria au ni kutoka divai au shinikizo la mafuta?”