Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 60:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Utusaidie kutoka katika taabu,+

      Kwa maana wokovu wa mtu wa udongo haufai kitu.+

  • Zaburi 118:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ni afadhali kupata kimbilio katika Yehova+

      Kuliko kumtegemea mtu wa udongo.+

  • Zaburi 146:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Msiweke tegemeo lenu katika watu wenye vyeo,+

      Wala katika mtu wa udongo, ambaye hana wokovu wowote.+

  • Isaya 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa ajili yenu wenyewe, jiepusheni kutoka kwa mtu wa udongo, ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake,+ kwa sababu yeye atafikiriwa kwa msingi gani?+

  • Yeremia 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki