22 Kwa ajili yenu wenyewe, jiepusheni kutoka kwa mtu wa udongo, ambaye pumzi yake iko katika mianzi ya pua yake,+ kwa sababu yeye atafikiriwa kwa msingi gani?+
5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+