11 Ndipo Samweli akasema: “Umefanya nini?”+ Naye Sauli akasema: “Niliona kwamba watu wametawanyika kutoka kwangu,+ nawe hukuja katika siku zilizowekwa,+ na Wafilisti walikuwa wakikusanyika pamoja huko Mikmashi,+
13 Basi Sauli akafa kwa sababu alikosa uaminifu kwa kutenda bila imani+ juu ya Yehova kuhusu lile neno la Yehova ambalo hakuwa ameshika na pia kwa sababu ya kuuliza kutoka kwa mwenye kuwasiliana na pepo.+