1 Samweli 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha Samweli akamuuliza: “Umefanya nini?” Sauli akamjibu: “Niliona kwamba watu wanatawanyika kutoka kwangu,+ nawe hukuja kwa wakati uliowekwa, na Wafilisti walikuwa wakikusanyika huko Mikmashi.+ 1 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 13:11 w00 8/1 12-13 1 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:11 Mnara wa Mlinzi,8/1/2000, kur. 12-13
11 Kisha Samweli akamuuliza: “Umefanya nini?” Sauli akamjibu: “Niliona kwamba watu wanatawanyika kutoka kwangu,+ nawe hukuja kwa wakati uliowekwa, na Wafilisti walikuwa wakikusanyika huko Mikmashi.+