20“Ikiwa utaenda katika pigano juu ya adui zako nawe uone farasi na magari ya vita,+ watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa maana Yehova Mungu wako yuko pamoja nawe,+ aliyekutoa katika nchi ya Misri.+
6 Na watu wa Israeli wakaona kwamba wako katika shida kali,+ kwa sababu watu walikuwa wamebanwa sana; na watu wakajificha katika mapango+ na mashimo na miamba na ngome na mashimo ya maji.