Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+

  • 1 Samweli 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo Sauli akaanguka chini upesi akiwa amejilaza chini mwili mzima, akaogopa sana kwa sababu ya maneno ya “Samweli.” Pia, kukawa hakuna nguvu zozote ndani yake, kwa sababu alikuwa hajala chakula mchana mzima na usiku mzima.

  • Methali 10:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kitu chenye kumwogopesha mwovu—hicho ndicho kitakachompata;+ lakini tamaa ya mwadilifu itatimizwa.+

  • Isaya 57:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Hakuna amani,” Mungu wangu amesema, “kwa waovu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki