2 Wathesalonike 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na pamoja na kila udanganyifu+ usio wa uadilifu kwa wale wanaoangamia,+ kuwa malipo kwa sababu hawakukubali kuipenda+ ile kweli ili wapate kuokolewa.+ 2 Wathesalonike 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hiyo ndiyo sababu Mungu huacha utendaji wa kosa uwaendee wao, ili wauamini uwongo,+
10 na pamoja na kila udanganyifu+ usio wa uadilifu kwa wale wanaoangamia,+ kuwa malipo kwa sababu hawakukubali kuipenda+ ile kweli ili wapate kuokolewa.+