Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Wafilisti wakakusanyika, wakaja na kupiga kambi katika Shunemu.+ Kwa hiyo Sauli akakusanya pamoja Israeli wote nao wakapiga kambi katika Gilboa.+

  • 1 Samweli 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi Wafilisti walikuwa wakipigana na Israeli,+ na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, nao wakaendelea kuanguka, wakiwa wameuawa+ katika Mlima Gilboa.+

  • 2 Samweli 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo yule kijana aliyekuwa akimpasha habari akasema: “Nilijikuta katika Mlima Gilboa+ bila kutazamia, na tazama, Sauli alikuwa amejiegemeza kwenye mkuki wake;+ na tazama! waendesha-magari na wapanda-farasi walikuwa wamemfikia.+

  • 2 Samweli 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo Daudi akaenda, akachukua mifupa ya Sauli+ na mifupa ya Yonathani mwana wake kutoka kwa wenye mashamba wa Yabesh-gileadi,+ ambao walikuwa wameiiba kutoka katika kiwanja cha watu wote cha Beth-shani,+ mahali ambapo Wafilisti walikuwa wamewatundika+ siku ambayo Wafilisti walimpiga na kumuua Sauli juu ya Gilboa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki