10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+
13 Basi Sauli akafa kwa sababu alikosa uaminifu kwa kutenda bila imani+ juu ya Yehova kuhusu lile neno la Yehova ambalo hakuwa ameshika na pia kwa sababu ya kuuliza kutoka kwa mwenye kuwasiliana na pepo.+