-
Yoshua 17:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Na Manase,+ katika Isakari na katika Asheri, wakawa na Beth-sheani+ na miji yake ya kandokando na Ibleamu+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Dori+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa En-dori+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Taanaki+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Megido+ na miji yake ya kandokando, vilele vitatu.
-
-
Waamuzi 1:27Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Na Manase+ hakumiliki Beth-sheani+ na miji yake ya kandokando na Taanaki+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Dori+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Ibleamu+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Megido+ na miji yake ya kandokando, bali Wakanaani waliendelea kukaa katika nchi hiyo.+
-
-
2 Samweli 21:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Kwa hiyo Daudi akaenda, akachukua mifupa ya Sauli+ na mifupa ya Yonathani mwana wake kutoka kwa wenye mashamba wa Yabesh-gileadi,+ ambao walikuwa wameiiba kutoka katika kiwanja cha watu wote cha Beth-shani,+ mahali ambapo Wafilisti walikuwa wamewatundika+ siku ambayo Wafilisti walimpiga na kumuua Sauli juu ya Gilboa.+
-