Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Manase,+ katika Isakari na katika Asheri, wakawa na Beth-sheani+ na miji yake ya kandokando na Ibleamu+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Dori+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa En-dori+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Taanaki+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Megido+ na miji yake ya kandokando, vilele vitatu.

  • Waamuzi 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na Manase+ hakumiliki Beth-sheani+ na miji yake ya kandokando na Taanaki+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Dori+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Ibleamu+ na miji yake ya kandokando na wakaaji wa Megido+ na miji yake ya kandokando, bali Wakanaani waliendelea kukaa katika nchi hiyo.+

  • 2 Samweli 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo Daudi akaenda, akachukua mifupa ya Sauli+ na mifupa ya Yonathani mwana wake kutoka kwa wenye mashamba wa Yabesh-gileadi,+ ambao walikuwa wameiiba kutoka katika kiwanja cha watu wote cha Beth-shani,+ mahali ambapo Wafilisti walikuwa wamewatundika+ siku ambayo Wafilisti walimpiga na kumuua Sauli juu ya Gilboa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki