1 Samweli 31:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwishowe wakaweka silaha+ zake katika nyumba za sanamu za Ashtorethi,+ nao wakafunga maiti yake kwenye ukuta wa Beth-shani.+ 1 Wafalme 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baana mwana wa Ahiludi, kule Taanaki+ na Megido+ na Beth-sheani+ yote, ambayo iko kando ya Sarethani+ chini ya Yezreeli,+ kutoka Beth-sheani mpaka Abel-mehola+ mpaka eneo la Yokmeamu;+
10 Mwishowe wakaweka silaha+ zake katika nyumba za sanamu za Ashtorethi,+ nao wakafunga maiti yake kwenye ukuta wa Beth-shani.+
12 Baana mwana wa Ahiludi, kule Taanaki+ na Megido+ na Beth-sheani+ yote, ambayo iko kando ya Sarethani+ chini ya Yezreeli,+ kutoka Beth-sheani mpaka Abel-mehola+ mpaka eneo la Yokmeamu;+