-
Amosi 6:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Na ndugu ya baba yake atawachukua mmoja mmoja, naye atawachoma moto mmoja mmoja, ili kuiondoa mifupa ndani ya nyumba.+ Naye atamwambia yeyote yule aliye katika sehemu za ndani kabisa za nyumba, ‘Je, bado una wengine zaidi?’ Naye atalazimika kusema, ‘Hamna mtu!’ Naye atalazimika kusema, ‘Nyamaza kimya! Kwa maana huu si wakati wa kutaja kwa vyovyote jina la Yehova.’ ”+
-