-
Amosi 6:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Mtu wa ukoo* atakuja na kuwatoa nje na kuwachoma mmoja baada ya mwingine. Ataitoa mifupa yao ndani ya nyumba hiyo; kisha atamuuliza yeyote aliye katika vyumba vya ndani vya nyumba hiyo, ‘Je, kuna wengine pamoja nawe?’ Naye atajibu, ‘Hakuna yeyote!’ Kisha atasema, ‘Nyamaza kimya! Kwa maana huu si wakati wa kutaja kwa vyovyote vile jina la Yehova.’”
-