14 Lakini sasa ufalme wako hautadumu.+ Yehova atajitafutia mtu anayekubalika kwa moyo wake;+ na Yehova atamweka kuwa kiongozi+ juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukushika yale aliyokuamuru Yehova.”+
28 Ndipo Samweli akamwambia: “Yehova ameurarua+ utawala wa kifalme wa Israeli kutoka kwako leo, naye hakika atampa mwenzako ambaye ni bora kuliko wewe.+
10 ili kuuhamisha ufalme kutoka katika nyumba ya Sauli na kukiweka kiti cha ufalme cha Daudi juu ya Israeli na juu ya Yuda kuanzia Dani mpaka Beer-sheba.”+
3 Basi wanaume wote wazee+ wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni, na Mfalme Daudi akafanya agano+ nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli.+