2 Mambo ya Nyakati 25:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akachukua dhahabu yote na fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika nyumba ya Mungu wa kweli na Obed-edomu+ na hazina za nyumba ya mfalme+ na mateka, kisha akarudi Samaria.+
24 Naye akachukua dhahabu yote na fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika nyumba ya Mungu wa kweli na Obed-edomu+ na hazina za nyumba ya mfalme+ na mateka, kisha akarudi Samaria.+