26 Naye akachukua hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya mfalme;+ naye akachukua kila kitu.+ Naye akachukua ngao zote za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+
26 Kwa maana kulikuwa na wanaume wanne wenye nguvu katika vyeo vya kutegemewa. Walikuwa Walawi, nao walisimamia vyumba vya kulia+ chakula na hazina+ za nyumba ya Mungu wa kweli.