1 Mambo ya Nyakati 27:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na Yonathani,+ mpwa wa Daudi, alikuwa mshauri, mwanamume mwenye uelewaji,+ naye alikuwa mwandishi pia; na Yehieli mwana wa Hakmoni+ alikuwa pamoja na wana wa mfalme.+ Methali 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mtu atasifiwa kwa sababu ya kinywa chake cha busara,+ lakini aliyepotoka moyoni atadharauliwa.+ 1 Timotheo 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana wanaume wanaohudumu kwa njia nzuri wanajipatia wenyewe msimamo mzuri+ na uhuru mwingi wa kusema+ katika imani kuhusiana na Kristo Yesu.
32 Na Yonathani,+ mpwa wa Daudi, alikuwa mshauri, mwanamume mwenye uelewaji,+ naye alikuwa mwandishi pia; na Yehieli mwana wa Hakmoni+ alikuwa pamoja na wana wa mfalme.+
13 Kwa maana wanaume wanaohudumu kwa njia nzuri wanajipatia wenyewe msimamo mzuri+ na uhuru mwingi wa kusema+ katika imani kuhusiana na Kristo Yesu.