Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 27:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na Yonathani,+ mpwa wa Daudi, alikuwa mshauri, mwanamume mwenye uelewaji,+ naye alikuwa mwandishi pia; na Yehieli mwana wa Hakmoni+ alikuwa pamoja na wana wa mfalme.+

  • Methali 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mtu atasifiwa kwa sababu ya kinywa chake cha busara,+ lakini aliyepotoka moyoni atadharauliwa.+

  • 1 Timotheo 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana wanaume wanaohudumu kwa njia nzuri wanajipatia wenyewe msimamo mzuri+ na uhuru mwingi wa kusema+ katika imani kuhusiana na Kristo Yesu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki