50 Kwa hiyo na tutoe kila mmoja kile ambacho amepata kiwe toleo la Yehova,+ vyombo vya dhahabu, mikufu ya mguuni, na vikuku, pete za muhuri,+ vipuli, na mapambo ya kike,+ ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zetu mbele za Yehova.”
11 Vyombo hivyo pia Mfalme Daudi akavitakasa+ kwa Yehova, pamoja na ile fedha na dhahabu ambayo alikuwa amechukua kutoka kwa mataifa yote,+ kutoka Edomu na kutoka Moabu+ na kutoka kwa wana wa Amoni+ na kutoka kwa Wafilisti+ na kutoka kwa Amaleki.+