Yoshua 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 na eneo lao likawa Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi+ na nusu ya nchi ya wana wa Amoni+ hadi Aroeri,+ lililo mbele ya Raba;+ Yoshua 21:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Heshboni+ na kiwanja chake cha malisho, Yazeri+ na kiwanja chake cha malisho; majiji yote yalikuwa ni manne.
25 na eneo lao likawa Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi+ na nusu ya nchi ya wana wa Amoni+ hadi Aroeri,+ lililo mbele ya Raba;+
39 Heshboni+ na kiwanja chake cha malisho, Yazeri+ na kiwanja chake cha malisho; majiji yote yalikuwa ni manne.