Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ wakawa na mifugo mingi, mingi sana, kwa kweli. Nao wakaanza kuiona nchi ya Yazeri+ na nchi ya Gileadi, na, tazama! mahali hapo palikuwa mahali pa mifugo.

  • Yoshua 13:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 na eneo lao likawa Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi+ na nusu ya nchi ya wana wa Amoni+ hadi Aroeri,+ lililo mbele ya Raba;+

  • Isaya 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa sababu matuta ya Heshboni+ yamenyauka. Mzabibu wa Sibma+—wamiliki wa mataifa wamekata matawi yake mekundu. Wamefika mpaka Yazeri;+ walikuwa wametanga-tanga nyikani. Machipukizi yake yalikuwa yameachwa yatoe majani; yalikuwa yamevuka mpaka baharini.

  • Yeremia 48:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “‘Nitakulilia kwa kilio kinachoshinda kile kilio kwa ajili ya Yazeri,+ Ee mzabibu wa Sibma.+ Machipukizi yako yenye matawi mengi yameivuka bahari. Mpaka baharini—mpaka Yazeri+—yamefika. Mporaji ameanguka+ juu ya matunda yako ya wakati wa kiangazi na juu ya ukusanyaji wako wa zabibu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki