32Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ wakawa na mifugo mingi, mingi sana, kwa kweli. Nao wakaanza kuiona nchi ya Yazeri+ na nchi ya Gileadi, na, tazama! mahali hapo palikuwa mahali pa mifugo.
8 kwa sababu matuta ya Heshboni+ yamenyauka. Mzabibu wa Sibma+—wamiliki wa mataifa wamekata matawi yake mekundu. Wamefika mpaka Yazeri;+ walikuwa wametanga-tanga nyikani. Machipukizi yake yalikuwa yameachwa yatoe majani; yalikuwa yamevuka mpaka baharini.
32 “‘Nitakulilia kwa kilio kinachoshinda kile kilio kwa ajili ya Yazeri,+ Ee mzabibu wa Sibma.+ Machipukizi yako yenye matawi mengi yameivuka bahari. Mpaka baharini—mpaka Yazeri+—yamefika. Mporaji ameanguka+ juu ya matunda yako ya wakati wa kiangazi na juu ya ukusanyaji wako wa zabibu.+