9 Hiyo ndiyo sababu nitalia kwa kilio cha Yazeri juu ya mzabibu wa Sibma.+ Nitakulowesha wewe kwa machozi yangu, Ee Heshboni+ na Eleale,+ kwa sababu kupaaza sauti kumeanguka juu ya kiangazi chako na juu ya mavuno yako.+
8 Na mporaji atakuja juu ya kila jiji,+ na hakutakuwa na jiji lolote linaloweza kuponyoka.+ Na nchi tambarare ya chini hakika itaangamia na nchi tambarare itaharibiwa, jambo ambalo Yehova amesema.