Waamuzi 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Nao wakatoka kwenda shambani kama kawaida, wakakusanya zabibu za mashamba yao na kuzikanyaga na kusherehekea kwa furaha,+ kisha wakaingia katika nyumba ya mungu wao,+ wakala na kunywa+ na kumlaani+ Abimeleki.
27 Nao wakatoka kwenda shambani kama kawaida, wakakusanya zabibu za mashamba yao na kuzikanyaga na kusherehekea kwa furaha,+ kisha wakaingia katika nyumba ya mungu wao,+ wakala na kunywa+ na kumlaani+ Abimeleki.