Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi siku iliyofuata wakaamka mapema, nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na kutoa dhabihu za ushirika. Baada ya hayo watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama wapate kujifurahisha.+

  • Danieli 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakanywa divai, wakaisifu miungu ya dhahabu na fedha, shaba, chuma, miti na mawe.+

  • Amosi 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao hujinyoosha+ kando ya kila madhabahu+ juu ya mavazi yaliyotwaliwa kama rehani; na divai ya wale ambao wametozwa wao huinywa katika nyumba ya miungu yao.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki