6 Basi siku iliyofuata wakaamka mapema, nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na kutoa dhabihu za ushirika. Baada ya hayo watu wakaketi ili wale na kunywa. Kisha wakasimama wapate kujifurahisha.+
8 Nao hujinyoosha+ kando ya kila madhabahu+ juu ya mavazi yaliyotwaliwa kama rehani; na divai ya wale ambao wametozwa wao huinywa katika nyumba ya miungu yao.’+