Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na kushangilia na shangwe zimeondolewa katika shamba la matunda; na hakuna vigelegele vya shangwe katika mashamba ya mizabibu, hakuna sauti inayopaazwa.+ Mwenye kukanyaga hakanyagi divai yoyote itoke katika mashinikizo.+ Nimekomesha kupaaza sauti.+

  • Yeremia 25:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Nawe utawatolea unabii kwa maneno haya yote, nawe utawaambia, ‘Yehova atanguruma kutoka juu,+ naye atatoa sauti yake kutoka katika makao yake matakatifu.+ Bila shaka atanguruma juu ya makao yake. Atapaaza sauti kama ile ya wale wanaokanyaga shinikizo la divai juu ya wakaaji wote wa dunia.’+

  • Yeremia 48:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na kushangilia na shangwe zimeondolewa katika shamba la matunda na katika nchi ya Moabu.+ Nami nimeikomesha divai kutoka katika mashinikizo ya divai.+ Hakuna yeyote atakayezikanyaga kwa kupaaza sauti. Huko kupaaza sauti hakutakuwa kupaaza sauti.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki