Isaya 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Furaha na shangwe zimeondolewa katika shamba la matunda,Na hakuna nyimbo za shangwe au vigelegele katika mashamba ya mizabibu.+ Anayekanyaga hakanyagi tena divai katika mashinikizo,Kwa maana nimekomesha vigelegele.+
10 Furaha na shangwe zimeondolewa katika shamba la matunda,Na hakuna nyimbo za shangwe au vigelegele katika mashamba ya mizabibu.+ Anayekanyaga hakanyagi tena divai katika mashinikizo,Kwa maana nimekomesha vigelegele.+