10 Kwa maana hata ekari kumi+ za shamba la mizabibu zitazaa kipimo kimoja tu cha bathi,+ na hata kipimo kimoja cha homeri ya mbegu kitazaa kipimo kimoja tu cha efa.+
23 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba kila mahali palipokuwa na mizabibu elfu moja, yenye thamani ya vipande elfu moja vya fedha,+ patakuwa—kwa ajili ya vichaka vya miiba na kwa ajili ya magugu.+