9 Hiyo ndiyo sababu nitalia kwa kilio cha Yazeri juu ya mzabibu wa Sibma.+ Nitakulowesha wewe kwa machozi yangu, Ee Heshboni+ na Eleale,+ kwa sababu kupaaza sauti kumeanguka juu ya kiangazi chako na juu ya mavuno yako.+
33 Na kushangilia na shangwe zimeondolewa katika shamba la matunda na katika nchi ya Moabu.+ Nami nimeikomesha divai kutoka katika mashinikizo ya divai.+ Hakuna yeyote atakayezikanyaga kwa kupaaza sauti. Huko kupaaza sauti hakutakuwa kupaaza sauti.’”+