32 “‘Nitakulilia kwa kilio kinachoshinda kile kilio kwa ajili ya Yazeri,+ Ee mzabibu wa Sibma.+ Machipukizi yako yenye matawi mengi yameivuka bahari. Mpaka baharini—mpaka Yazeri+—yamefika. Mporaji ameanguka+ juu ya matunda yako ya wakati wa kiangazi na juu ya ukusanyaji wako wa zabibu.+