Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 na Nebo+ na Baal-meoni+—majina yao yakiwa yamebadilishwa—na Sibma; nao wakaanza kuyaita kwa majina yao wenyewe majiji waliyojenga.

  • Yoshua 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 na Kiriathaimu+ na Sibma+ na Sereth-shahari katika mlima wa nchi tambarare ya chini,

  • Isaya 16:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa sababu matuta ya Heshboni+ yamenyauka. Mzabibu wa Sibma+—wamiliki wa mataifa wamekata matawi yake mekundu. Wamefika mpaka Yazeri;+ walikuwa wametanga-tanga nyikani. Machipukizi yake yalikuwa yameachwa yatoe majani; yalikuwa yamevuka mpaka baharini.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki