Hesabu 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndipo Musa akatuma watu fulani wakapeleleze Yazeri.+ Kwa hiyo wakateka miji yake ya kandokando na kuwaondolea mbali Waamori waliokuwa humo.+ Hesabu 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 na Atroth-shofani na Yazeri+ na Yogbeha,+ Yoshua 21:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Heshboni+ na kiwanja chake cha malisho, Yazeri+ na kiwanja chake cha malisho; majiji yote yalikuwa ni manne.
32 Ndipo Musa akatuma watu fulani wakapeleleze Yazeri.+ Kwa hiyo wakateka miji yake ya kandokando na kuwaondolea mbali Waamori waliokuwa humo.+
39 Heshboni+ na kiwanja chake cha malisho, Yazeri+ na kiwanja chake cha malisho; majiji yote yalikuwa ni manne.