Hesabu 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndipo Musa akatuma watu fulani wakapeleleze Yazeri.+ Kwa hiyo wakateka miji yake ya kandokando na kuwaondolea mbali Waamori waliokuwa humo.+ Yoshua 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 na eneo lao likawa Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi+ na nusu ya nchi ya wana wa Amoni+ hadi Aroeri,+ lililo mbele ya Raba;+
32 Ndipo Musa akatuma watu fulani wakapeleleze Yazeri.+ Kwa hiyo wakateka miji yake ya kandokando na kuwaondolea mbali Waamori waliokuwa humo.+
25 na eneo lao likawa Yazeri+ na majiji yote ya Gileadi+ na nusu ya nchi ya wana wa Amoni+ hadi Aroeri,+ lililo mbele ya Raba;+