Hesabu 21:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana Heshboni lilikuwa jiji la Sihoni.+ Yeye alikuwa mfalme wa Waamori,+ naye ndiye aliyepigana na mfalme wa Moabu zamani na kuichukua nchi yake yote kutoka mkononi mwake mpaka Arnoni.+ Hesabu 32:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na wana wa Rubeni wakajenga Heshboni+ na Eleale+ na Kiriathaimu,+ Yoshua 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+ 1 Mambo ya Nyakati 6:81 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 81 na Heshboni+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Yazeri+ pamoja na viwanja vyake vya malisho.
26 Kwa maana Heshboni lilikuwa jiji la Sihoni.+ Yeye alikuwa mfalme wa Waamori,+ naye ndiye aliyepigana na mfalme wa Moabu zamani na kuichukua nchi yake yote kutoka mkononi mwake mpaka Arnoni.+
17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+