10 Nami nitaangamiza kutoka ndani yao sauti ya furaha na sauti ya shangwe,+ sauti ya bwana-arusi na sauti ya bibi-arusi,+ sauti ya jiwe la kusagia la mkononi+ na nuru ya taa.+
12 Mzabibu umekauka, na hata mtini umedhoofika. Nao mkomamanga, pia mtende na mtofaa, miti yote ya shamba imekauka;+ kwa maana furaha imetoweka kwa aibu katika binadamu.+