-
2 Mambo ya Nyakati 19:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Na, tazama, yupo Amaria mkuu wa makuhani aliye juu yenu kwa ajili ya kila jambo la Yehova;+ na Zebadia mwana wa Ishmaeli kiongozi wa nyumba ya Yuda kwa ajili ya kila jambo la mfalme; nanyi mna Walawi wakiwa maofisa kwa ajili yenu. Iweni na nguvu,+ mtende, na Yehova+ awe pamoja na mambo yaliyo mema.”+
-