30 Wa Wahebroni,+ Hashabia na ndugu zake, wanaume wenye uwezo,+ elfu moja na mia saba, walikuwa juu ya usimamizi wa Israeli katika eneo la Yordani upande wa magharibi kwa ajili ya kazi yote ya Yehova na kwa ajili ya utumishi wa mfalme.
7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+