-
2 Mambo ya Nyakati 19:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Ndiye huyu Amaria mkuu wa makuhani anayewasimamia katika kila jambo linalomhusu Yehova.+ Zebadia mwana wa Ishmaeli ndiye kiongozi wa ukoo wa Yuda katika kila jambo linalomhusu mfalme. Na Walawi watatumikia wakiwa maofisa wenu. Iweni imara, na mtende, na Yehova awe pamoja na wale wanaotenda mema.”*+
-