2 Mambo ya Nyakati 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+ Zaburi 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+Kulingana na usafi wa mikono yangu mbele za macho yake.+
2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+
24 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+Kulingana na usafi wa mikono yangu mbele za macho yake.+