Zaburi 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hatua za mwanamume zimetayarishwa na Yehova,+Na Yeye hupendezwa na njia yake.+ Mhubiri 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana amempa mwanadamu aliye mwema mbele zake+ hekima na ujuzi na furaha,+ bali amempa mtenda-dhambi shughuli ya kukusanya na kuleta pamoja ili tu ampe mtu aliye mwema mbele za yule Mungu wa kweli.+ Hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.+
26 Kwa maana amempa mwanadamu aliye mwema mbele zake+ hekima na ujuzi na furaha,+ bali amempa mtenda-dhambi shughuli ya kukusanya na kuleta pamoja ili tu ampe mtu aliye mwema mbele za yule Mungu wa kweli.+ Hilo pia ni ubatili na kufuatilia upepo.+