2 Samweli 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Daudi alikuwa na umri wa miaka 30 alipoanza kuwa mfalme. Akatawala kwa miaka 40+ akiwa mfalme. 1 Mambo ya Nyakati 29:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 na siku alizotawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+
27 na siku alizotawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+