21 Naye akakimbia, akaondoka na kuvuka ule Mto,+ yeye na vyote alivyokuwa navyo. Baada ya hapo akaelekeza uso wake kwenye eneo lenye milima la Gileadi.+
7 Hata Waebrania wakavuka Yordani+ kwenda katika nchi ya Gadi+ na Gileadi. Lakini Sauli alikuwa bado katika Gilgali, na watu wote wakamfuata wakitetemeka.+