1 Samweli 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hata baadhi ya Waebrania walivuka Yordani na kuingia nchi ya Gadi na Gileadi.+ Lakini Sauli alikuwa bado Gilgali, na watu wote waliomfuata walikuwa wakitetemeka.
7 Hata baadhi ya Waebrania walivuka Yordani na kuingia nchi ya Gadi na Gileadi.+ Lakini Sauli alikuwa bado Gilgali, na watu wote waliomfuata walikuwa wakitetemeka.