7 Basi wakatoa kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli dhahabu yenye thamani ya talanta elfu tano na dariki elfu kumi na fedha yenye thamani ya talanta elfu kumi na shaba yenye thamani ya talanta kumi na nane elfu na chuma yenye thamani ya talanta mia moja elfu.+