Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 6:2

Marejeo

  • +Law 5:15; Hes 5:6; Zb 51:4
  • +Law 19:11
  • +Kut 22:7
  • +Ayu 24:2; Mik 2:2; Mdo 13:10

Mambo ya Walawi 6:3

Marejeo

  • +Kum 22:1
  • +Kut 22:11; Law 19:12; Yer 7:9; Mal 3:5; Efe 4:25; Kol 3:9; 1Ti 1:10

Mambo ya Walawi 6:4

Marejeo

  • +Law 4:13

Mambo ya Walawi 6:5

Marejeo

  • +Law 5:16; Hes 5:7; 1Sa 12:3

Mambo ya Walawi 6:6

Marejeo

  • +Law 5:15; Isa 53:10; Ebr 9:14
  • +Law 7:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 27

Mambo ya Walawi 6:7

Marejeo

  • +Law 4:20; 5:10, 18; 1Yo 1:7; 2:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 27

Mambo ya Walawi 6:9

Marejeo

  • +Kut 29:42; Hes 28:3; Ebr 10:11

Mambo ya Walawi 6:10

Marejeo

  • +Kut 28:39; Law 16:32; Ezr 3:10; Eze 44:17
  • +Kut 28:42; 39:28
  • +Kut 27:3; Law 1:16; 4:12

Mambo ya Walawi 6:11

Marejeo

  • +Law 16:23; Eze 44:19
  • +Law 4:12; 16:27; Hes 19:9; Ebr 13:12

Mambo ya Walawi 6:12

Marejeo

  • +Law 1:7; 3:5; Ne 13:31
  • +Law 3:5, 16; Hes 18:17

Mambo ya Walawi 6:13

Marejeo

  • +Hes 16:46

Mambo ya Walawi 6:14

Marejeo

  • +Law 2:1; Hes 15:4

Mambo ya Walawi 6:15

Marejeo

  • +Law 2:2, 9; 5:12

Mambo ya Walawi 6:16

Marejeo

  • +Law 2:3; 5:13; Eze 44:29; 1Ko 9:13
  • +Law 10:12

Mambo ya Walawi 6:17

Marejeo

  • +Law 2:11; Mt 16:12; 1Pe 2:22
  • +Hes 18:9
  • +Law 2:3, 10

Mambo ya Walawi 6:18

Marejeo

  • +Hes 18:10
  • +Law 24:9

Mambo ya Walawi 6:20

Marejeo

  • +Kut 29:2
  • +Kut 30:30; Zb 133:2; Lu 4:18; Mdo 10:38; Ebr 1:9; 5:1; 7:28; 8:3
  • +Kut 16:36; Law 5:11
  • +Kut 29:40; Law 2:1; 9:17; Hes 28:5

Mambo ya Walawi 6:21

Marejeo

  • +Law 2:5; 7:9; 1Nya 23:29

Mambo ya Walawi 6:22

Marejeo

  • +Kum 10:6; Ebr 7:23
  • +Kut 29:41

Mambo ya Walawi 6:23

Marejeo

  • +Ebr 7:28

Mambo ya Walawi 6:25

Marejeo

  • +Law 4:3
  • +Law 1:3, 11
  • +Law 21:22; 22:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 27

Mambo ya Walawi 6:26

Marejeo

  • +Law 10:17; Hes 18:9; Eze 44:29
  • +Law 6:16
  • +Kut 27:9; 38:9; 40:33; Eze 42:13

Mambo ya Walawi 6:27

Marejeo

  • +Mt 9:21; 14:36
  • +1Pe 1:2
  • +Ebr 9:10

Mambo ya Walawi 6:28

Marejeo

  • +Law 11:33; 15:12

Mambo ya Walawi 6:29

Marejeo

  • +Law 6:18; Hes 18:10
  • +Law 6:25; 21:22

Mambo ya Walawi 6:30

Marejeo

  • +Law 4:5; 10:18; 16:27; Ebr 13:11

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 6:2Law 5:15; Hes 5:6; Zb 51:4
Law. 6:2Law 19:11
Law. 6:2Kut 22:7
Law. 6:2Ayu 24:2; Mik 2:2; Mdo 13:10
Law. 6:3Kum 22:1
Law. 6:3Kut 22:11; Law 19:12; Yer 7:9; Mal 3:5; Efe 4:25; Kol 3:9; 1Ti 1:10
Law. 6:4Law 4:13
Law. 6:5Law 5:16; Hes 5:7; 1Sa 12:3
Law. 6:6Law 5:15; Isa 53:10; Ebr 9:14
Law. 6:6Law 7:1
Law. 6:7Law 4:20; 5:10, 18; 1Yo 1:7; 2:2
Law. 6:9Kut 29:42; Hes 28:3; Ebr 10:11
Law. 6:10Kut 28:39; Law 16:32; Ezr 3:10; Eze 44:17
Law. 6:10Kut 28:42; 39:28
Law. 6:10Kut 27:3; Law 1:16; 4:12
Law. 6:11Law 16:23; Eze 44:19
Law. 6:11Law 4:12; 16:27; Hes 19:9; Ebr 13:12
Law. 6:12Law 1:7; 3:5; Ne 13:31
Law. 6:12Law 3:5, 16; Hes 18:17
Law. 6:13Hes 16:46
Law. 6:14Law 2:1; Hes 15:4
Law. 6:15Law 2:2, 9; 5:12
Law. 6:16Law 2:3; 5:13; Eze 44:29; 1Ko 9:13
Law. 6:16Law 10:12
Law. 6:17Law 2:11; Mt 16:12; 1Pe 2:22
Law. 6:17Hes 18:9
Law. 6:17Law 2:3, 10
Law. 6:18Hes 18:10
Law. 6:18Law 24:9
Law. 6:20Kut 29:2
Law. 6:20Kut 30:30; Zb 133:2; Lu 4:18; Mdo 10:38; Ebr 1:9; 5:1; 7:28; 8:3
Law. 6:20Kut 16:36; Law 5:11
Law. 6:20Kut 29:40; Law 2:1; 9:17; Hes 28:5
Law. 6:21Law 2:5; 7:9; 1Nya 23:29
Law. 6:22Kum 10:6; Ebr 7:23
Law. 6:22Kut 29:41
Law. 6:23Ebr 7:28
Law. 6:25Law 4:3
Law. 6:25Law 1:3, 11
Law. 6:25Law 21:22; 22:7
Law. 6:26Law 10:17; Hes 18:9; Eze 44:29
Law. 6:26Law 6:16
Law. 6:26Kut 27:9; 38:9; 40:33; Eze 42:13
Law. 6:27Mt 9:21; 14:36
Law. 6:271Pe 1:2
Law. 6:27Ebr 9:10
Law. 6:28Law 11:33; 15:12
Law. 6:29Law 6:18; Hes 18:10
Law. 6:29Law 6:25; 21:22
Law. 6:30Law 4:5; 10:18; 16:27; Ebr 13:11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 6:1-30

Mambo ya Walawi

6 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 2 “Ikiwa nafsi inatenda dhambi, kwa kujiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kwa Yehova+ naye amdanganye+ mwenzake juu ya kitu fulani alicho nacho au arbuni iliyo mkononi mwake+ au kumnyang’anya, au ampunje mwenzake,+ 3 au apate kitu kilichopotea+ naye adanganye kuhusu kitu hicho na kuapa kwa uwongo+ juu ya jambo lolote kati ya mambo yote ambayo huenda mtu huyo akafanya na kutenda dhambi kutokana nayo; 4 basi itakuwa kwamba akitenda dhambi na kuwa na hatia,+ lazima atarudisha kile kitu alichopata kwa unyang’anyi au alichopata kwa upokonyaji ambacho amechukua kwa kupunja au kitu alicho nacho ambacho alipewa au kitu kilichopotea ambacho amekipata, 5 au kitu chochote ambacho huenda akaapa juu yake kwa uwongo, naye atatoa malipo+ kwa ajili yake kwa kiwango chake kamili, naye ataongezea juu yake sehemu yake ya tano. Siku ambayo hatia yake itahakikishwa atampa mwenyewe kitu hicho. 6 Naye atamletea Yehova toleo la hatia, kondoo-dume ambaye hana kasoro+ kutoka katika kundi kulingana na thamani iliyokadiriwa, kwa ajili ya toleo la hatia,+ kwa kuhani. 7 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake mbele za Yehova, naye atasamehewa lolote ambalo huenda akafanya kati ya mambo yote hayo, nalo limfanye awe na hatia.”

8 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 9 “Mwamuru Haruni na wanawe, na kusema, ‘Hii ndiyo sheria ya toleo la kuteketezwa:+ Toleo la kuteketezwa litakuwa kwenye jiko juu ya madhabahu usiku kucha mpaka asubuhi, nao moto wa madhabahu utawashwa ndani yake. 10 Naye kuhani atajivika nguo yake rasmi ya kitani,+ naye atavaa ile suruali+ ya kitani mwilini mwake. Kisha atayachukua yale majivu yenye mafuta+ ya toleo la kuteketezwa ambayo huteketezwa kwa moto kwa ukawaida juu ya madhabahu, naye atayaweka kando ya madhabahu. 11 Naye atayavua mavazi+ yake na kuvaa mavazi mengine, naye atayachukua yale majivu yenye mafuta mpaka mahali safi nje ya kambi.+ 12 Na huo moto kwenye madhabahu utaendelea kuwaka juu yake. Usizimike. Naye kuhani atateketeza kuni+ juu yake asubuhi baada ya asubuhi na kuweka kwa utaratibu toleo la kuteketezwa juu yake, naye atafukiza vile vipande vyenye mafuta vya dhabihu ya ushirika juu yake.+ 13 Moto+ utawaka daima kwenye madhabahu. Usizimike.

14 “‘Hii ndiyo sheria ya toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni, litoeni mbele za Yehova mbele ya madhabahu. 15 Na mmoja wao atachukua kipimo cha mkono mmoja wa huo unga laini wa toleo la nafaka na sehemu ya mafuta yake na ubani wote ulio juu ya toleo hilo la nafaka, naye ataufukiza kwenye madhabahu uwe harufu ya kutuliza ya kumbukumbu+ lake kwa Yehova. 16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano. 17 Hautaokwa pamoja na kitu chochote kilichotiwa chachu.+ Nimeutoa uwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayotolewa kwa njia ya moto.+ Ni kitu kitakatifu zaidi,+ kama lile toleo la dhambi na kama lile toleo la hatia. 18 Kila mwanamume+ kati ya wana wa Haruni ataula. Ni posho kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, mpaka wakati usio na kipimo+ katika vizazi vyenu vyote. Chochote kitakachoyagusa kitakuwa kitakatifu.’”

19 Naye Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 20 “Hili ndilo toleo+ la Haruni na wanawe ambalo watamtolea Yehova siku ya kutiwa mafuta kwake:+ sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini uwe toleo la nafaka+ daima, nusu yake asubuhi na nusu yake jioni. 21 Utatolewa pamoja na mafuta kwenye kiokeo.+ Utauleta ukiwa umechanganywa vizuri. Utatoa vitumbua vya toleo la nafaka vipande-vipande viwe harufu ya kumtuliza Yehova. 22 Na kuhani, aliyetiwa mafuta badala yake kati ya wanawe,+ atatoa toleo hilo. Ni sharti mpaka wakati usio na kipimo: Hilo toleo zima litafukizwa+ kwa Yehova. 23 Na kila toleo la nafaka la kuhani+ litakuwa toleo zima. Halitaliwa.”

24 Naye Yehova akazidi kusema na Musa, na kumwambia: 25 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hii ndiyo sheria ya toleo la dhambi:+ Katika mahali+ ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa ukawaida, toleo la dhambi litachinjwa mbele za Yehova. Ni kitu kitakatifu zaidi.+ 26 Kuhani ambaye hutoa toleo hilo kwa ajili ya dhambi atalila.+ Katika mahali patakatifu+ litaliwa katika ua+ wa hema la mkutano.

27 “‘Chochote ambacho huenda kikagusa nyama yake kitakuwa kitakatifu,+ na mtu yeyote akitapanya damu yake juu ya vazi,+ utakioshea katika mahali patakatifu kile ambacho ametapanya damu juu yake.+ 28 Na chombo cha udongo+ ambamo huenda likatokosewa ndani yake kitavunjwa. Lakini ikiwa lilitokoswa katika chombo cha shaba, basi kitaparuzwa na kuoshwa kwa maji.

29 “‘Kila mwanamume kati ya makuhani atalila.+ Ni kitu kitakatifu zaidi.+ 30 Hata hivyo, toleo lolote la dhambi ambalo sehemu ya damu+ yake itaingizwa katika hema la mkutano ili kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, halitaliwa. Litateketezwa kwa moto.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki