18 Tazama! damu yake haijaletwa ndani katika mahali patakatifu.+ Mlipaswa kula toleo hilo katika mahali patakatifu, kama vile nilivyokuwa nimeamriwa.”+
27 “Hata hivyo, yule ng’ombe-dume wa toleo la dhambi na yule mbuzi wa toleo la dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ili kufanya upatanisho, atawapeleka mpaka nje ya kambi; nao watateketeza ngozi zao na nyama yao na mavi yao katika moto.+