19 Na wanapoenda kwenye ua wa nje, hata kwenye ua wa nje kwa watu, wanapaswa kuyavua mavazi yao waliyokuwa wameyavaa wakihudumu,+ nao watayaweka kwenye vyumba vitakatifu vya kulia chakula+ na kuvaa mavazi mengine, ili wasije wakawatakasa watu kwa mavazi yao.+