-
Ezekieli 42:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Naye akaniambia: “Vyumba vya kulia chakula vya kaskazini na vyumba vya kulia chakula vya kusini ambavyo viko mbele ya eneo lililotengwa,+ hivyo ndivyo vyumba vya kulia chakula vilivyo vitakatifu, ambamo makuhani wanaomkaribia+ Yehova hula vitu vitakatifu zaidi.+ Humo wao huweka vitu vilivyo vitakatifu zaidi na toleo la nafaka na toleo la dhambi na toleo la hatia, kwa sababu mahali hapo ni patakatifu.+
-