5 Ndipo akasema na Kora na kusanyiko lake lote, na kuwaambia: “Asubuhi Yehova atajulisha ni nani aliye wake+ na ni nani aliye mtakatifu+ na ni nani anayeweza kumkaribia,+ na yeyote atakayemchagua+ huyo atamkaribia.
5 “Na makuhani wana wa Lawi watakaribia, kwa sababu hao ndio Yehova Mungu wako amechagua wamhudumie+ na kulisifu+ jina la Yehova na ambao kwa kinywa chao kila mzozo juu ya kila tendo lenye jeuri, wapasa kuondolewa mbali.+
46 Na chumba cha kulia chakula ambacho upande wake wa mbele unaelekea kaskazini ni cha makuhani wanaotimiza wajibu wa madhabahu.+ Hao ni wana wa Sadoki,+ ambao, kutoka kwa wana wa Lawi, wanamkaribia Yehova ili kumhudumia.”+