19 Kabla ya kwenda kwenye ua wa nje—ua wa nje mahali palipo na watu—wanapaswa kuyavua mavazi waliyokuwa wamevaa walipokuwa wakihudumu+ na kuyaweka katika vyumba vitakatifu vya kulia chakula.+ Kisha watavaa mavazi mengine, ili wasije wakawapitishia watu utakatifu kwa mavazi hayo.