10 Kuhani atavaa vazi lake rasmi la kitani+ na suruali fupi ya kitani.*+ Kisha ataondoa majivu*+ ya dhabihu iliyoteketezwa kwenye madhabahu na kuyaweka kando ya madhabahu.
14 Makuhani wanapoingia, hawapaswi kutoka mahali patakatifu na kwenda kwenye ua wa nje kabla hawajavua mavazi wanayovaa wanapohudumu,+ kwa sababu ni matakatifu. Watavaa mavazi mengine ili waende katika maeneo ambayo watu wanaruhusiwa kuingia.”