32 “Kuhani atakayetiwa mafuta+ na kuwekwa rasmi*+ ili atumike akiwa kuhani baada ya baba yake,+ atatoa dhabihu ya kufunika dhambi na kuvaa yale mavazi matakatifu+ ya kitani.+
17 “‘Wanapoingia kwenye malango ya ua wa ndani, wanapaswa kuvaa mavazi ya kitani.+ Hawapaswi kuvaa vazi lolote la sufu wanapohudumu katika malango ya ua wa ndani au wakiwa ndani.